Psalms 81:1-3

Wimbo Wa Sikukuu

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.

1 aMwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;
mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!
2 bAnzeni wimbo, pigeni matari,
pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.

3 cPigeni baragumu za pembe za kondoo dume
wakati wa Mwandamo wa Mwezi,
na wakati wa mwezi mpevu,
katika siku ya Sikukuu yetu;
Copyright information for SwhNEN